Nchi ya Kanaani pia ndiyo Ncho ya Ahadi ya Mungu (Kumbukumbu la Torati 11:9), na kiroho, inaashiria ufalme wa mbinguni tunaotamani kuupata. Utaratibu wa Waisraeli kutegemea hiyo ahadi ya Mungu na kushinda nchi itiririkayo maziwa na asali kiishara unawakilisha vita vya kiroho vinavyotukabili katika maisha yetu ya Kikristo.
格式 EPUB ● 网页 256 ● ISBN 9791126311378 ● 文件大小 5.1 MB ● 出版者 Urim Books USA ● 发布时间 2024 ● 版 1 ● 下载 24 个月 ● 货币 EUR ● ID 9345750 ● 复制保护 Adobe DRM
需要具备DRM功能的电子书阅读器